11th June, 2021
Kujitokeza kwa waliokuwa majaji wakuu dkt Willy Mutunga na David Maraga kutetea idara ya mahakama dhidi ya kushambuliwa na uteuzinwa majaji kumeanza kuibua hisia kali na masuali chungu nzima ya ni kwanini wawili hao wamejitokeza kwa njia hiyo inhali kuna jaji mkuu Martha Koome anayefaa kuwa mstari wa mbele kushughulikia haya
Maendeleo ya wanawake wamekashifu wawili hao kwa kile wanachodai ni kudhalalishwa kwa koome na wawili hao kwa kuwa ni mwanamke.