×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirika la maendeleo ya wanawake yakosoa Mutunga na Maraga kwa kuingilia jaji mkuu Martha Koome

11th June, 2021

Kujitokeza kwa waliokuwa majaji wakuu dkt Willy Mutunga na David Maraga kutetea idara ya mahakama dhidi ya kushambuliwa na uteuzinwa majaji kumeanza kuibua hisia kali na masuali chungu nzima ya ni kwanini wawili hao wamejitokeza kwa njia hiyo inhali kuna jaji mkuu Martha Koome anayefaa kuwa mstari wa mbele kushughulikia haya

Maendeleo ya wanawake wamekashifu wawili hao kwa kile wanachodai ni kudhalalishwa kwa koome na wawili hao kwa kuwa ni mwanamke.

 

.
RELATED VIDEOS