×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Dismas Indiza adokezea kwamba yupo tayari kwa safari ya Kenya Open | KTN Leo Michezo

9th March, 2021

Mojawapo ya washiriki wa mashindano ya magical Kenya open Dismas Indiza alinidokezea kwamba yupo tayari na kwamba wachezaji wa Kenya anatumai wataingia katika mabano ya wachezaji kumi bora mwaka huu. Mashindano hayo yatakayoandaliwa kati ya tarehe 18?21 mwezi huu wa machi yatapeperushwa mubashara KTN.

 

.
RELATED VIDEOS