×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wito wa amani: Viongozi wa Magharibi wasisitiza amani, wazee wa jamii wakutana kuhubiri amani

5th June, 2020

Viongozi kutoka maeneo ya magharibi ya kenya wamezitaka jamii zinazozozana katika mpaka wa kaunti za Nandi na Kakamega kusitisha uhasama wa kijamii ambao umesababisha vita baina ya jamii mbili, huku jitihada za suluhu likiendelezwa na wazee wajamii mpakani humo. Wakizungumza huko Kakamega, waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa amesema kuna haja ya jamii zinazohasimiana kukaa kitako na kutatua tatizo hilo, wakati wazee wa jamii wameonekana kukutana na kuhubiri amani katika vikao vyao kwa maslahi ya jamii.

.
RELATED VIDEOS