×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 38 wakamatwa na kushtakiwa Kisumu kwa kukiuka masharti ya serikali ya kukabiliana na korona

29th May, 2020

Takriban watu thelathini na wanane kutoka kisumu walikamatwa na kufikishwa mahakamani baada ya kukiuka masharti ya serikali ya kukabiliana na korona kwa kutovalia maski na kutozingatia umbali uliowekwa. Waathiriwa walikamatwa katika barabara za mtaa wa Milimani na Tom Mboya jana asubuhi. Walifika mahakamani wakiwa wamevalia mavazi yao ya mazoezi na wakashtakiwa kwa kukiuka kanuni zilizotolewa na waziri wa afya kuhusu sheria ya Afya ya umma. Hakimu mkuu mwandamizi Robbinson Ondieki aliwapata na hatia lakini watoto waliachiliwa na kuonywa wasirudie kukiuka kanuni za kukabiliana na msambao wa virusi vya korona nchini

.
RELATED VIDEOS