22nd May, 2020
Wakazi wa nairobi katika mitaa ya mabanda wanaendelea kukumbana na ukesu wa maji. Mitaa iliyoathirika sana ni Kawangware, Mathare, Kibra na Mukuru. shirika la shinning hope na kampuni ya safaricom wameshirikiana kusambaza maji ambayo yanakisiwa yatawatosheleza kwa siku 45 pekee, huku wahusika wa usambazaji wa maji jijini wakitakiwa kuwajibika.