22nd May, 2020
Hii leo kwenye makala yetu ya kila ijumaa ya mirindimo tunaangazia sarakasi na vituko vinayoendelea humu nchini hususan katika kipindi hiki wakenya wanapambana na homa kali ya korona. Afisa mkuu mshirikishi wa eneo la bonde la ufa George Natembeya akiwaonya machifu kwamba watabeba msalaba wa ujauzito huku mzee Jackson Kibor akitaka kuwafanyia wanawe vipimo vya chembechembe za urathi yaani DNA.