Wafanyikazi wa Serikali ya Kaunti wasusia kazi, Majaa ya taka yamerundikwa kote jijini Nairobi
2nd March, 2020
Majaa Ya Taka Yamerundikwa Na Kutapakaa Katika Maeneo Mbali Mbali Jijini Nairobi Huku Habari Zikiibuka Kuwa Wafanyakazi Wa Serikali Ya Kaunti Wanafanya Mgomo Baridi.