29th February, 2020
Washindi Wa Tuzo Tano Za Fasihi Ya Kiswahili Za Mabati Cornell Walitangazwa Katika Hoteli Ya Intercontinental Nairobi Katika Hafla Iliyohudhuriwa Na Wapenzi Wa Kiswahili Afrika Mashariki. Mshindi Wa Riwaya Mimi Na Rais Lello Mmassy Kutoka Tanzania Alijishindia Shilingi Laki Tano Za Kenya Huku Mkenya John Wanyonyi Akiwa Wa Pili Ambaye Alipata Laki Mbili Unusu. Katika Ushairi Mshindi Alikuwa Mohd Khamis Songoro Wa Zanzibar Na Wa Pili Akawa Rashid Othman Kutoka Visiwani Pemba. Tuzo Hizo Zimedhaminiwa Na Kampuni Y Safal Foundation Na Chuo Kikuu Cha Cornell Cha Marekani.