24th February, 2020
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>
Wauguzi Walioajiriwa Kwa Mkataba Katika Hospitali Ya Pumwani Wamegoma Wakilalamikia Ukosefu Wa Malipo. Hii Si Njema Kwa Wanawake Wajawazito Ambao Huitegemea Hospitali Hiyo Siku Zao Zinapotimia.