.
23rd February, 2020
Viongozi Kutoka Eneo La Kaskazini Mashariki Sasa Wanataka Uongozi Wa Bunge Kumshinikiza Waziri Wa Elimu Prof George Magoha Afike Mbele Ya Kamati Ya Elimu Na Kueleze Kwa Nini Eneo Hilo Lina Uchache Wa Walimu. Viongozi Hao Ambao Walihudhuria Mkutano Wa Bbi Katika Kaunti Ya Garissa Walidai Kuwa Viwango Vya Elimu Katika Eneo Hilo Vimedidimia Tangu Idadi Kubwa Ya Walimu Kuhamishwa Kutokana Na Ukosefu Wa Usalama.