×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafuasi wa makundi hasimu wazozana, mkutano wa BBI Garissa ulijadili matatizo kaskazini

23rd February, 2020

Viongozi Kutoka Eneo La Kaskazini Mashariki Sasa Wanataka Uongozi Wa Bunge Kumshinikiza Waziri Wa Elimu Prof George Magoha Afike Mbele Ya Kamati Ya Elimu Na Kueleze Kwa Nini Eneo Hilo Lina Uchache Wa Walimu. Viongozi Hao Ambao Walihudhuria Mkutano Wa Bbi Katika Kaunti Ya Garissa Walidai Kuwa Viwango Vya Elimu Katika Eneo Hilo Vimedidimia Tangu Idadi Kubwa Ya Walimu Kuhamishwa Kutokana Na Ukosefu Wa Usalama.

.
RELATED VIDEOS