×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Raila akutana na viongozi wa wa jamii Maasai kwa maandalizi ya mkutano wa BBI

17th February, 2020

        Baada ya mapumziko ya majuma mawili ya maombolezo ya hayati mzee daniel moi ,mkutano ujao wa bbi utaandaliwa katika kaunti ya narok jumamosi hii ya tarehe 22. Kiongozi wa ODM Raila Odinga alikutana na viongozi wa jamii ya maa kutoka kaunti saba kupanga mkutano huo.  Anavyoarifu mwanahabari lofty matambo huenda kunanukia mvutano wa ni nani anayefaa kuiongoza kamati ya shughuli hiyo siku tano kabla.

.
RELATED VIDEOS