×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nzige wameenea maeneo mengi nchini, Munya asema serikali inajitahidi

16th February, 2020

Wakazi Wa Vijiji Vya Karabari, Muminji Na Karimari Eneo La Mbeereya Kaskazini Kaunti Ya Embu Leo Walishindwa Kwenda Kanisani Kutokana Na Uvamizi Wa Nzige Ambao Wanaendelea Kusabisha Uharibifu Wa Mimea Katika Mashamba Yao. Wakaazi Hao Waliamua Kupambana Na Wadudu Hao Wakitumia Mbinu Mbali Mbali Kuwafukuza.  Haya Yalijiri Huku Waziri Wa Kilimo Peter Munya Akifanya Ziara Kaunti Za Embu, Meruna Isiolo Kukadiria Hasara Iliyosababishwa Na Nzige Hao Wa Jangwani. 

.
RELATED VIDEOS