×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ruto na Moi wakutana katika hafla ya kutawazwa kwa askofu wa kanisa la Katoliki Dominic Kimengich

1st February, 2020

Wito wa utangamano wa kitaifa ulitawala hafla ya kutawazwa kwa askofu wa kanisa la katoliki Dominic Kimengich ambaye alitawazwa rasmi hii leo katika kanisa la seminari la mothers of apostles mjini Eldoret kaunti ya uasin gishu ambapo sasa atakuwa askofu mpya wa dayosisi ya Eldoret .Ni hafla iliyohudhuriwa na viongozi wa dini  wakiongozwa  na kadinali John Njue pamoja na  wanasiasa akiwemo  naibu wa rais William Ruto, seneta wa kaunti baringo Gideon Moi, magavana pamoja na wabunge .

.
RELATED VIDEOS