31st January, 2020
Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuwakabidhi hati miliki za ardhi wakazi 594 kutoka Eneo La Olkalou katika kaunti ya nyandarua. Zoezi hilo aidha linalenga kuwafaidi zaidi ya wakazi elfu tano kutoka kaunti hiyo kufikia mwisho wa mwezi machi mwaka huu.