×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

UAPISHO WA NYORO: Naibu Gavana James Nyoro kuapishwa hivi leo

31st January, 2020

Hafla ya kumuapisha Naibu Gavana wa Kiambu Daktari James Nyoro inafanyika hii leo baada ya shughuli hiyo kusitishwa hapo jana kutokana na vikwazo vya kisheria. Nyoro anaapishwa kuchukua mahali pake Ferdinand Waititu ambaye Bunge la Seneti liliidhinisha kutimuliwa kwake kwenye kikao kilichoandaliwa siku ya Jumatano.

.
RELATED VIDEOS