×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nandi Kiplagat atuzwa mwanamke bora kwenye mashindano ya uendeshaji pikipiki nchini

25th January, 2020

Nandi kiplagat ametuzwa kuwa mwanamke bora wa mwaka 2019 kwenye mashindano ya waendeshaji pikipiki nchini yaliyofanyika hii leo jijini nairobi. Wengine waliotuzwa ni jonross nyachae aliyeshinda kitengo cha mx peewee huku alex kandie akishinda kitengo cha mx 85. mutahi wahome,rendy magara,natalia kandie na dekker kihara pia wametuzwa.washikadau wa mchezo wa uendeshaji pikipiki wameelezea matumaini ya mwaka 2020 kuwa wa mafanikio hata zaidi.

 

 

 

.
RELATED VIDEOS