24th January, 2020
Maafisa Wakuu Wa Usalama Katika Kaunti Ya Mandera Wanakutana Na Wenyeji Wa Kaunti Hiyo Kuangazia Mbinu Za Kuimarisha Usalama Katika Maeneo Ya Mpakani Baada Ya Visa Vya Mashambulizi Ya Wanamgambo Wa Alshaabab Kutoka Somalia Kuonekana Kuongezeka. Usimamizi Wa Kaunti Hiyo Umewaleta Pamoja Wenyeji Ili Kujadiliana Na Maafisa Wa Kutafuta Mbinu Ya Kupunguza Mashambulizi Hayo. Ali Manzu Yuko Mandera Na Alipatana Na Washikadau Wawili Kuzungumzia Usalama Maeneo Hayo.