×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waakilishi wa chama cha KANU na vijana kutoka Uasin Gishu wametaka kuwe na uwajibikaji zaidi

24th January, 2020

Wakati Huo Huo waakilishi wa chama cha kanu na vijana kutoka kaunti ya uasin gishu wametaka kuwe na uwajibikaji zaidi Katika Harakati Za Mageuzi Ya Katiba Kupitia Mpango Wa Jopo La Upatanishi BBI. Wakizungumza Mjini Eldoret Vijana Hao Wamesema Ipo Haja Kwa Serikali Kuzidisha Nafasi Za Ajira Na Kuwataka Wanasiasa Kuzingatia Maslahi Ya Wananchi Kwenye Mchakato Wa Kufanikisha Harakati Hizo Za Mageuzi Kupitia BBI.

.
RELATED VIDEOS