×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Marathon kuhamasisha kuhusu mazingira ili kukuza kipaji cha riadha bonde la ufa

24th January, 2020

Shirika La Habari La Standard Group, Serikali Ya Kaunti Ya Uasin Gishu, Muasisi Wa Mbio Za Eldoret City Marathon Moses Tanui Pamoja Na Wadhamini Mbalimbali Walizindua Rasmi Awamu Ya 3 Ya Mashindano Hayo Mjini Eldoret. Wakizungumza Mjini Eldoret Wadau Hao Wameweka Mikakati Kabambe Ya Kuboresha Mustakabali Wa Wanariadha Chipukizi Katika Eneo La Bonde La Ufa. Mwaka Uliopita Zaidi Ya Miche Laki Saba Ya Miti Ilipandwa  Huku Idadi Hiyo Ikitarajiwa Kuongezeka Mwaka Huu.

.
RELATED VIDEOS