22nd January, 2020
Wakenya leo waliona cheche kwenye mashindano ya tenisi ya afrika mashariki yanayoendelea uga wa nairobi club. Ryan Randiek alicharazwa seti mbili za 6?0 6?0 na Samir Banerjee kutoka marekani naye walid ahouda alimlemea Derick Ominde kwa kumlaza 6?4 na 7?6. Washindi watafuzu robo fainali ya michuano hiyo.