×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanamume mmoja ametiwa nguvuni kwa kumnajisi msichana mwenye umri wa miaka 16

13th January, 2020

Mwanamume Mmoja Ametiwa Nguvuni Kwa Kumnajisi Msichana Mwenye Umri Wa Miaka 16 Wa Kidato Cha Pili Kijijini Yamo Kaunti Ndogo Ya Samburu Ya Kati. Inadaiwa Wakati Wa Kuokolewa Kwa Msichana Huyo, Alikuwa Na Mtoto Mdogo Mwenye Umri Wa Siku Mbili. Sasa Msichana Huyo Na Mwanawe Wako Mikononi Mwa Serikali Huku Chifu Domick Lempara Akisema Uchunguzi Ungali Unaendelea.

.
RELATED VIDEOS