10th January, 2020
Wafanyabiashara Katika Soko La Jumla Mjini Kajiado Pamoja Na Wakazi Wa Mtaa Wa Majengo Wametoa Makataa Ya Siku Mbili Kwa Serikali Ya Kaunti Hiyo Kuondoa Taka Ambazo Zimekuwa Kero Kwa Muda Mrefu. Katika Soko La Kajiado, Uvundo Na Uchafu Umetapakaa Kila Sehemu Na Lango Moja La Kuingia Ndani Ya Soko Hasa Linalotumiwa Na Magari Ya Kubeba Mizigo Limezibwa.