×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwili wa mwanamke aliyekuwa mfanyikazi wa shamba la maua wapatikana Naivasha

10th January, 2020

Siku Kumi Za Kumtafuta Mama Mmoja Wa Watoto Watatu Ziliisha Na Huzuni Na Majonzi Baada Ya Mwili Wake Ulioharibika Kupita Kiasi Kupatikana Ukiwa Umezikwa Kwenye Kaburi Moja Katika Mtaa Wa Karagita Eneo La Naivasha. Mwili Wa Mfanyakazi Huyo Wa Shamba La Maua Ulipatikana Na Mguu Mmoja Huku Jicho Moja Likiwa Halipo. Mwanamke Huyo Kwa Jina Nancy Wangui Alipotea Siku Ya Mwaka Mpya Baada Ya Kutoka Nyumbani Kwake Mwendo Wa Saa Kumi Unusu Alfajiri Kueleka Kazini Kwenye Mojawepo Wa Mashamba Ya Maua Alikokuwa Akifanya Kazi. 

.
RELATED VIDEOS