×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Oguna atangaza Serikali imeanza unyunyizaji kemikali katika kaunti ya Garissa, Marsabit na Mandera

4th January, 2020

Serikali Imeanza Shughuli Ya Kunyunyiza Kemikali Ya Kuua Nzige Kwenye Kaunti Tatu Kaskazini Mashariki Ya Kenya Ambazo Zimevamiwa Na Wadudu Hao.  Msemaji Wa Serikali Kanali Mstaafu Cyrus Oguna Amesema Serikali Itatumia Ndege Kupuliza Kemikali Hiyo Nyakati Za Usiku Kwenye Kaunti Za Mandera, Wajir Na Garissa. Serikali Pia Imesambaza Vinyunyizi Vitakavyotumiwa Na Makundi Ya Watu Kuangamiza Nzige.

.
RELATED VIDEOS