3rd January, 2020
Waziri Wa Elimu Prof George Magoha Ametoa Onyo Kwa Walimu Wakuu Watakaotia Mkazo Kwa Ulipaji Karo Na Ada Zingine Kama Mbinu Ya Kuwatimua Wanafunzi Shuleni Shule Zitakapofunguliwa Juma Lijalo. Magoha Amesisitiza Kuwa Elimu Ni Haki Msingi Ya Kila Mwanafunzi. Alizungumza Kwenye Uzinduzi Wa Ufadhili Wa Equity Wings To Fly Wa Mwaka Huu Unaowapa Wanafunzi Wanaobobea Kwenye Elimu Kutoka Jamii Zisizo Na Uwezo Wa Kifedha