Timu ya taifa ya mpira wa mikono yaapa kufuzu mashindano ya Olimpiki kwa mara ya kwanza
1st January, 2020
Timu ya taifa ya mpira wa mikono wanaume imeapa kufuzu mashindano ya Olimpiki kwa mara ya kwanza katika historia kwenye michuano ya kufuzu itakayoandaliwa nchini Tunisia Januari mwaka huu.