×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Muthama amuonya Kalonzo kwa madai ya kumuunga Rais Uhuru Kenyattta

26th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 10.0px Arial} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>

Aliyekuwa seneta wa machakos Johnston Muthama amemuonya kingozi wa wiper kalonzo musyoka kuwa huenda akajipata akistaafu kisiasa pamoja na Rais Uhuru Kenyatta asiposikiza ushauri wa wanasiasa wenza kutoka eneo la ukambani. Muthama aliyasema haya saa chache kabla ya wandani wa Kalonzo kwenye chama cha wiper kujitokeza wakimtaka Muthama kujiuzulu kutoka kwa chama cha Wiper. Gavana wa machakos alfred mutua sasa ametangaza kuunga mkono matamshi ya Muthama. 

.
RELATED VIDEOS