×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

King Kaka ajiwasilisha katika makao ya DCI baada ya kutoa nyimbo ya Wajinga Nyinyi | MBIU YA KTN

17th December, 2019

Muimbaji Kennedi Ombima maarufu King Kaka amejiwasilisha katika makao makuu ya upelelezi DCI baada ya kuwaarifu wakenya kupitia kwa mitandao yake ya kijamii kwamba alitakiwa kufika humo. King Kaka aliambatana na wasanii wengine pamoja na watetezi wa haki za binadamu. Hata hivyo ofisi ya DCI imesema kuwa haikumuita King Kaka kujiwasilisha ofisini mwao na kuwaomba wakenya kutotumia jina la ofisi za upelelezikwa njia isiyofaa.

.
RELATED VIDEOS