×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Polisi wanasa misokoto1500 huko Busia, washukiwa watatu wakamatwa

16th December, 2019

Polisi Mjini Busia Wamenasa Gari Moja Lililokuwa Likisafirisha Zaidi Ya Misokoto 1,5oo Ya Bangi, Kisha Kuwakamata Washukiwa Watatu Katika Eneo La Road Block Kwenye Barabara Kuu Ya Busia?Kisumu. Kulingana Na Kamanda Wa Polisi Kaunti Ya Busia John Nyoike, Gari Hilo Aina Ya Toyota Limenaswa Na Maafisa Wa Polisi Waliokuwa Wakipiga Doria Katika Kizuizi Cha Polisi Mwendo Wa Saa Tano Asubuhi. Bangi Hiyo Inashukiwa Kusafirishwa Kutoka Nchi Jirani Washukiwa Hao Watatu Waliwekwa Korokoroni Na Watafikishwa Mahakamani Leo.

.
RELATED VIDEOS