×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Baraza la wanahabari laonya polisi dhidi ya kutoa vitisho kwa wanahabari | Mbiu ya KTN

14th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>

Baraza La Kutetea Maslahi Ya Wanahabari Nchini Limewataka Maafisa Wa Usalama Kaunti Ya Makueni Kukoma Kuwatolea Vitisho Waandishi Wa Habari Wanapoendelea Na Majuku Yao. Wakiongozwa Na Dinnah Ondari, Wameelezea Kuwa Kuna Uhuru Wa Uanahabari  Nchini Kenya Na Hivyo Wanahabari Wanafaa Kupewa Nafasi Ya Kufanya Kazi Yao Bila Kutishwa. Wito Huu Unajiri Mwezi Mmoja Baada Ya Mwanahabari Wa Shirika La Standard Eneo La Makueni Stephen Nzioka Kulazimika Kuhama Kaunti Hoy Baada Ya Kupokea Vitisho Kutoka Kwa Maafisa Wa Polisi. Hii Ni Baada Ya Nzioka Kuangazia Taarifa Ya Ufichuzi Namna Mfungwa Mmoja Alifariki Baada Ya Kuwa Mikononi Mwa Polisi Kwa Siku 3.

.
RELATED VIDEOS