14th December, 2019
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>
Familia Moja Katika Kijiji Cha Busendevale , Matayos, Kaunti Ya Busia Inaomba Msaada Kutoka Kwa Serikali Ili Kusaidia Kuuopoa Mwili Wa Jamaa Yao Aliyeangamia Siku Mbili Zilizopita Akivua Samaki. Majirani Wa Mwenda Zake Wanasema Kuwa Juhudu Za Kumwokoa Joseph Onyango Mwenye Umri Wa Miaka Thelathini Na Nne Hazikufua Dafu. Na Sasa Jamaa Zake Na Wapiga Mbizi Wanaiomba Serikali Ya Kaunti Na Hata Yakitaifa Kuwasaidia Wakisema Wamefanya Kila Wawezalo.