×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa kanisa watoa misaada kwa wahanga wa maporomoko ya ardhi West Pokot | Mbiu ya KTN

14th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>

Baadhi Ya Viongozi Wa Kanisa Kutoka Kaunti Ya West Pokot Wameahidi Kusaidia Katika Upanzi Wa Miti Maeneo Yaliyokumbwa Na Mkasa Wa Maporomoko Ya Ardhi Hivi Majuzi. Kasisi Wa Kanisa La Kianglikana Samson Tuliapus Amesema Hii Itakuwa Njia Ya Kudumu Yta Kukabiliana Na Mikasa Ya Aina Hii. Alizugumza Alipotoa Misaada Ya Chakula Na Bidhaa Zingine Kwa Wahanga Wa Mkasa Huo. Gavana John Lonyangapuo Amesema Wameonya Wale Ambao Si Waathiriwa Dhidi Ya Kunyemelea Misaada Ya Waathiriwa.

.
RELATED VIDEOS