×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Daraja la Mauti? Serikali kujenga upya daraja la Enziu, baada ya visa vingi vya ajali | Mbiu ya KTN

14th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style> Serikali Ya Kitaifa Imesema Kuwa Itajenga Upya Daraja La Enziu Linalounganisha Maeneo Ya Nuu Na Nguni Baada Ya Malalamishi Kuwa Lilijengwa Visivyo Na Linachangia Ajali Nyingi Eneo Hilo. Watu Wasiopungua 10 Wamefariki Kwenye Ajali Za Barabarani Eneo Hilo Tangu Aprili Mwaka Jana. Akizungumza Alipozuru Eneo Hilo, Katibu Katika Wizara Ya Ujenzi Prof Paul Maringa Alisema Serikali Inajali Usalama Wa Wakenya Na Itahakikisha Hili Linafanyika.

.
RELATED VIDEOS