×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Passaris, Ida Odinga watoa ushauri kwa kuwaonya kina mama kuhusu mikopo | Mbiu ya KTN

14th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 14.0px Arial} </style>

Wanawake Wameshauriwa Dhidi Ya Kuomba Mikopo Kiholela Kama Hawajapanga Ipasavyo Watakavyotumia Mikopo Hiyo.  Mke Wa Aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, Ida Odinga Na Muakilishi Wa Wanawake Kaunti Ya Nairobi Wamewaonya Wanawake Kutotumia Mikopo Kwa Shughuli Zizizo Za Kuwaletea Kipato. Viongozi Hawa Walizungumza Kwenye Hafla Iliyoandaliwa Ya Kuwapa Mikopo Kina Mama Maarufu Kama Table Banking Ambapo Makundi 400 Ya Kina Mama Yalinufaika Kwa Kupewa  Mikopo.

.
RELATED VIDEOS