×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali za kaunti zenye ukame zimetakiwa kushirkiana na mashirika yanayopiga jeki maswala ya kilimo

13th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 10.0px Arial} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>

    Seriklai za kaunti hasa zile za maeneo kame nchini zimetakiwa kushirikiana na mashirika mbalimbali yanayopiga jeki masuala ya kilimo na kukabili ukame ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Akizungumza baada ya kuzuru mabwawa yaliyofadhiliwa na mamlaka ya utunzaji wa mazingira nchini NEMA katika eneo la Kimana na Imbirikani katika kaunti ya Kajiado,  mwenyekiti wa bodi ya NEMA John Konchella amekariri kuwa kuna haja ya ushirikiano huo ili kuhakikisha kuwa miradi ambayo inatolewa kwenye kaunti kame natunzwa na kuwafaidi wenyeji wakati wa kiangazi.

.
RELATED VIDEOS