×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hali ya uzuni imetanda Busia baada ya mchimba mchanga kuzikwa hai

11th December, 2019

         Hali ya huzuni imewakumba wenyeji wa kijiji cha mudembi huko Budalangi kaunti ya Busia baada ya mchimba mchanga mmoja kuzikwa akiwa hai kwenye chimbo alimokuwa akifanya kazi  Kulingana na wenyeji eneo hilo mwendazake aliyejulikana kwa jina Klegan Otieno mwenye umri wa miaka 7 alikumbana na kifo akiwa na wenzake 3 waliokuwa wakichimba mchanga huku wenzake wakiponea kwa majeraha mabaya Ni mkasa wa pili kutokea chini ya wiki mbili na sasa wanataka serikali kutoa hamasisho ya namna ya kuendesha shughuli hiyo. Mwili wa mwendazake ulipelekewa katika hifadhi ya maiti katika hospitali ya Port Victoria.

.
RELATED VIDEOS