×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Zaidi ya familia 150 zinaishi bila makao baada ya nyumba zao kufurika maji eneo bunge la Nyatike

10th December, 2019

Zaidi ya familia 150 katika eneo la nyatike kaunti ya Migori sasa zinaishi bila makao baada ya nyumba zao kufurika maji kutokana na mvua kubwa inayoshuhudiwa eneo hilo. Kijiji kilichoathirika zaidi ni cha Sagama ambacho inadaiwa kimeathiriwa na maji ya mpango wa unyunyizaji maji mashamba wa Lower Kuja.Gavana wa eneo hilo Okoth Obado alizuru waathiriwa na kutoa wito kwa serikali ya kitaifa kuingilia kati na kuwatafutia makao mbadala wahanga wote. Alizungumza akiwa kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani kwa ndani ya Agenga ambapo zaidi ya watu 500 wanaishi 
.
RELATED VIDEOS