10th December, 2019
Waakazi wa kirimiri eneo la Maragwa katika kaunti ya
Murang`a wanakadiria hasara baada ya bwawa la kibinasfi la
Kirimiri Estate kuvunja kingo zake kutokana na mafuriko na
kuharibu mimea yenye thamani ya maelfu ya pesa. Haya
yakijiri kamati maalum ya kuangazia majanga yanayoletwa na
mafuriko iliyobuniwa kaunti ya murang’a ilizuru bwawa hili
kutathmini hali. Kamati hiyo inayoongozwa na Paul Murage
imewataka wanaosihi maeneo ya nyanda za chini ya bwawa
hili khamia maeneo salama.Waakazi wa kirimiri eneo la Maragwa katika kaunti ya Murang`a wanakadiria hasara baada ya bwawa la kibinasfi la Kirimiri Estate kuvunja kingo zake kutokana na mafuriko na kuharibu mimea yenye thamani ya maelfu ya pesa. Haya yakijiri kamati maalum ya kuangazia majanga yanayoletwa na mafuriko iliyobuniwa kaunti ya murang’a ilizuru bwawa hili kutathmini hali. Kamati hiyo inayoongozwa na Paul Murage imewataka wanaosihi maeneo ya nyanda za chini ya bwawa hili khamia maeneo salama.