×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbunge Wambugu Ngunjiri alaumu polisi

9th December, 2019

Mbunge wa Nyeri mjini Wambugu Ngunjiri sasa amewanyoshea kidole cha lawama maafisa wa polisi akiwalaumu kwa kile ametaja kuwa utepetevu kufuatia vurumai zilizoshuhudiwa Nyeri hapo jana kwenye hafla ya kuchangisha fedha iliyohudhuriwa na naibu rais William Ruto katika shule ya upili ya wavulana ya giakanja. Vurugu hiyo inasemekana kuwahusisha wakazi wanaoaminika kuwa wafuasi wa mbunge huyo waliokuwa wakikabiliana na kundi jingine likiaminika kuwa la wafuasi wa naibu wa rais.

 

.
RELATED VIDEOS