×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tanzania yajiondoa kwenye sheria ya kushtaki Serikali

9th December, 2019

Tanzania Imejitoa Katika Kifungua Kinachowezesha Raia Na Mashirika Yasiyo Ya Kiserikali Kuishtaki Serikali Ya Nchi Hiyo Katika Mahakama Ya Afrika Ya Watu Na Haki Za Binadamu Iliyopo Arusha Kaskazini Mwa Taifa Hilo. Watetezi Wa Haki Za Binadamu Nchini Tanzania Wanalaani Uamuzi Huo Kwa Kusema Ni Uamuzi Unaolenga Kukandamiza Zaidi Haki Za Binadamu Nchini Humo

.
RELATED VIDEOS