×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa kanisa waonya dhidi ya Siasa za Chuki na Ukabila

9th December, 2019

Baadhi Ya Viongozi Wa Kanisa Kutoka Eneo La Bisil Katika Kaunti Ya Kajiado Wamejitokeza Kutoa Kauli Yao Kwa Makanisa Yote Humu Nchini Kuombea Taifa Na Mvua Ya Masika Inayoendelea Kunya Katika Maeneo Kadhaa Humu Nchini. Wakiongozwa Na Kasisi Daniel Osoi Wa Kanisa La Faith Evangelical, Wameomba Kuwepo Kwa Mvua Ya Wastani Ambayo Haitasababisha Maafa Na Hasara Kubwa Kama Ilivyoshuhudiwa Hivi Majuzi.  Wakizungumza Katika Hafla Ya Kutawazwa Kwa Makasisi Wamewafariji Wale Waliopoteza Wapendwa Wao. Aidha Wametoa Wito Kwa Serikali Kuhakikisha Kwamba Imeandaa Mikakati Ya Kukabiliana Na Majanga Nchini.

.
RELATED VIDEOS