×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vurumai Nyeri: Makabiliano kati ya wafuasi wa Ngunjiri na wa Naibu Rais yashuhudiwa alasiri leo

9th December, 2019

Makabiliano Makali Yalishuhudiwa Katika Shule Ya SEKONDARI Ya Giakanja Katika Kaunti Nyeri Baada Ya Mirengo Miwili Ya Kisiasa Kukabiliana Kabla Ya Hafla Ya Naibu Wa Rais William Ruto. Hafla Hiyo Ya Kuchangisha Fedha, Ilianza Kwa Ghasia, Huku Wafuasi Wa Mbunge Wa Nyeri Mjini Ngunjiri Wambugu Wakizuiliwa Kuingia Katika Eneo La Mkutano. Vuta Nkuvute Hata Hivyo Ilishuhudiwa Alipowasili Wambugu, Huku Wakaazi Waliokuwa Wamebea Rungu Na Hata Visu Wakikabiliana, Huku Baadhi Yao Wakijeruhiwa Vibaya. Wawakilishi Wadi Ni Miongoni Mwa Waliozua Rabsha Hiyo. Kikao Hicho Hata Hivyo Kiliendelea Baadaye, Huku Viongozi Wakikashifu Kilichojiri

.
RELATED VIDEOS