×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakazi wa Malindi wapokea msaada baada ya hospitali ya kaunti kufadhiliwa na dawa

9th December, 2019

Jamaa Mmoja Mkaazi Wa Malindi Ameifadhili Hospitali Ya Kaunti Ndogo Ya Malindi Alikozaliwa Miaka Arobaini Na Minane Iliyopita Na Dawa Zinazogharimu Zaidi Ya Shilingi Milioni Mbili. Kenneth Karisa Mulewa Kutoka Eneo La Jirore Huko Malindi Kupitia Wakfu Wake, Amesema Kuwa Kwa Muda Mrefu Sasa Amekua Na Lengo La Kusaidia Sehemu Ambazo Hazipati Dawa Za Kutosha.

.
RELATED VIDEOS