×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirika la Red Cross latahadharisha wanaoishi kando la mto Tana kwamba huenda watafurishwa

6th December, 2019

Kwa mara nyingine tena shirika la red cross limeonya kwamba watu wengi wanaoishi kando kando mwa mto Tana wataendelea kufurushwa makwao kwenye siku zijazo kutokana na  kupanda kwa viwango vya mto huo huku mvua zikiendelea kushuhudiwa. Akizungumza wakati wa kutoa chakula cha msaada kwenye kambi ya ziwani ambako zaidi ya familia mia nne zimetafuta makazi,meneja wa eneo la kaskazini mashariki Mohammed Abdikadir amesema iwapo mvua hiyo itaendelea basi wengi watalazimika kuhama makwao.kufikia alhamisi wiki hii viwango vya mto huo vilikuwa vimepanga kutoka mita tatu nukta tisa hadi mita tano nukta kumi.

 

.
RELATED VIDEOS