.
4th December, 2019
Waziri wa maji Simon Chelugui ameshinda kwa zaidi ya saa tano kwenye makao makuu ya DCI akihojiwa kuhusiana na sakata ya kupotea kwa shilingi bilioni 19 za mradi wa bwawa la Itare. Miongoni mwa watu waliotajwa kwenye sakata hii ni waziri wa zamani wa fedha Henry Rotich.