×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Awanu ya pili ya maonyesho ya uvumbuzi yaanza Mombasa | MBIU YA KTN

4th December, 2019

Awamu ya pili ya maonyesho yatakayodumu juma zima na ambayo yanawaleta pamoja vijana wa Pwani na uvumbuzi wao yameanza hii leo katika Kaunti ya Mombasa. Wageni mbalimbali wa kimataifa akiwemo balozi wa Uingereza watahudhuria katika hafla hii yenye madhumuni ya kukuza talanta katika sekta ya teknolojia na mawasiliano miongoni mwa vijana. 

.
RELATED VIDEOS