×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Margaret Nyakango aapishwa kama msimamizi wa bajeti | MBIU YA KTN

4th December, 2019

Margaret Nyakango ndiye msimamizi mpya wa bajeti za serikali. Nyakango ameapishwa kwenye sherehe iliyoongozwa na jaji mkuu David Maraga katika mahakama ya upeo hapa Nairobi. Nyakango aliyeteuliwa na rais Uhuru Kenyatta mwezi jana anamrithi Agnes Odhiambo. Nyakango ni mhasibu na atahudumu kama msimamizi wa bajeti kwa muda wa miaka minane.

 

.
RELATED VIDEOS