×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mahakama yasitisha ada ya maegesho ya magari iliyopitishwa na serikali ya Nairobi | MBIU YA KTN

4th December, 2019

Mahakama kuu imesitisha ada ya shilingi mia nne ya maegesho ya magari, ambayo serikali ya kaunti ya nairobi ilikuwa imepitisha kuwa itaanza kutekelezwa hii leo. Hii ni baada ya shirikisho la matumizi ya huduma na bidhaa ( COFEK) kuwasilisha kesi ya kupinga ada hiyo kupandishwa maradufu kutoka shilingi 200 hadi shilingi 400.  

 

.
RELATED VIDEOS