×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hasara na mahangaiko kote nchini kufuatia mafuriko |MBIU YA KTN

2nd December, 2019

Msichana wa umri wa miaka minane  ni miongoni mwa watu kumi waliofariki kutokana na athari za mvua kubwa inayoendelea kunyesha sehemu ya Kaiti Kaunti ya Makueni. Saada Hassan anaelezea hali ilivyo kwenye taarifa mseto kuonyesha jinsi maeneo kadhaa yameathirika, akianzia katika Kaunti ya Makueni. Haya na mengine mengi katika makala ya Mbiu Ya KTN

.
RELATED VIDEOS