×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 500 washiriki 'Forest Challenge' kuchangisha pesa za upandaji wa miti

2nd December, 2019

Zaidi Ya Makundi 500 Yalishiriki Kwenye Shughuli Ijulikanayo Forest Challenge 2019, Katika Kaunti Ya Kiambu Ili Kuchangisha Fedha Za Kusaidia Kuimarisha Misitu Nchini Kenya.Makundi Hayo Yaliongozwa Na Mashirika Ya East Africa Wildlife Society, Shirika La Huduma Kwa Misitu Nchini KFS Miongoni Mwao Wakiongozwa Na Mwanamazingira Mkuu Wa KFS Julius Kamau, Ambaye Amewahimiza Makundi Ya Uhifadhi Mazingira Kutilia Maanani Swala La Mazingira Katika Siku Za Usoni Ikiwemo Upanzi Wa Miti. Kwenye Michezo Mbalimbali, Washiriki Hao Walijumuika Na Kushiriki Michezo Mbalimbali Ili Kuipitisha Jumbe Mbalimbali Ya Uhifadhi Mazingira Na Upanzi Miti. 

.
RELATED VIDEOS